SINBAD BAHARIA NA SAFARI ZAKE SABA SEHEMU YA NNE SAFARI YA TATU Kutoka sehemu ya tatu:
... Read more » |
SINBAD BAHARIA NA SAFARI ZAKE SABA SEHEMU YA TATU SAFARI YA PILI Kutoka sehemu ya Pili: ... Read more » |
SINBAD BAHARIA NA SAFARI ZAKE SABA SEHEMU YA PILI SAFARI YA KWANZA Kutoka sehemu ya kwanza: ... Read more » |
SINBAD BAHARIA NA SAFARI ZAKE SABA KATIKA utawala wa Khalifa Haroun Rashid, aliishi katika jiji la Bagdad maskini aitwaye Hindbad. Siku moja, wakati hali ya hewa ilikuwa ya joto kali, Hindbad alipata tenda ya kubeba mzigo mzito kuupeleka mbali sana kutoka sehemu hiyo ya mji ambako aliishi. |
SEHEMU YA KUMI NA TANO ALIBABA NI TAJIRI
Kutoka sehemu ya kumi na nne: Baada ya kiongozi wa wezi kujulikana na Marjane baada ya kuingia ndani ya nyumba, Marjane aamua kutumia njia za ujanja na kufanikiwa kumwua. Alibaba alifurahi sana na kuamua kumuomba mwanaye Khalid amuoe Marjane iwe ni kama zawadi kwake, naye Marjane kwa upole akakubali........ Endelea sehemu ya Kumi na tano. Hivyo basi, Khalid na Marjane w ... Read more » |