SINBAD BAHARIA NA SAFARI ZAKE SABA

SEHEMU YA NNE

SAFARI YA TATU

Kutoka sehemu ya tatu:

 

... Read more »

Category: Stories & Entertainment | Views: 1119 | Added by: badshah | Date: 08/Mar/2018 | Comments (0)

SINBAD BAHARIA NA SAFARI ZAKE SABA

SEHEMU YA TATU

SAFARI YA PILI

Kutoka sehemu ya Pili:

... Read more »

Category: Stories & Entertainment | Views: 1349 | Added by: badshah | Date: 03/Feb/2018 | Comments (2)

SINBAD BAHARIA NA SAFARI ZAKE SABA

SEHEMU YA PILI

SAFARI YA KWANZA

Kutoka sehemu ya kwanza:

  ... Read more »

Category: Stories & Entertainment | Views: 1869 | Added by: badshah | Date: 13/Jan/2018 | Comments (1)

SINBAD BAHARIA NA SAFARI ZAKE SABA



SEHEMU YA KWANZA

Hindubad mbeba mizigo

KATIKA utawala wa Khalifa Haroun Rashid, aliishi katika jiji la Bagdad maskini aitwaye Hindbad. Siku moja, wakati hali ya hewa ilikuwa ya joto kali, Hindbad alipata tenda ya kubeba mzigo mzito kuupeleka mbali sana kutoka sehemu hiyo ya mji ambako aliishi. 

Alitaabika na joto na uchovu sana, na akiwa bado na safari ndefu ya kwenda, aliingia katika mtaa mmoja ambapo hewa yenye ubaridi mzuri ilipiga juu ya uso wake, na sehemu za kando ya barabara za mtaa huo zilikuwa zikinyunyiziwa na marashi ya waridi.

Alifurahi kupata mahali pa kupumzika kama pale, akaweka mzigo wake, na akaketi kando yake, karibu na nyumba kubwa.
M ... Read more »

Category: Stories & Entertainment | Views: 877 | Added by: badshah | Date: 25/Dec/2017 | Comments (8)

SEHEMU YA KUMI NA TANO

ALIBABA NI TAJIRI

 

Kutoka sehemu ya kumi na nne:

Baada ya kiongozi wa wezi kujulikana na Marjane baada ya kuingia ndani ya nyumba, Marjane aamua kutumia njia za ujanja na kufanikiwa kumwua. Alibaba alifurahi sana na kuamua kumuomba mwanaye Khalid amuoe Marjane iwe ni kama zawadi kwake, naye Marjane kwa upole akakubali........

Endelea sehemu ya Kumi na tano.

Hivyo basi, Khalid na Marjane w ... Read more »

Category: Stories & Entertainment | Views: 693 | Added by: badshah | Date: 23/Dec/2017 | Comments (2)

1 2 3 ... 7 8 »