Home » 2017 » October » 03

SEHEMU YA PILI

Kutoka sehemu ya kwanza:

Baada ya Alibaba kuingia pangoni na kuona mali zote zile na kujisemea moyoni kuhusu mali zile:

 Kwa kuona wingi wa mali hizi Alibaba alijifikiria moyoni kuwa sio kwa miaka michache tu, hii itakuwa ni karne na karne wezi wanapora mali za watu na kuja kuzificha humu.

 

ENDELEA SEHEMU YA PILI

“Hazina nyingi kiasi gani hiki!!” alisema Alibaba. ‘na sasa nimezip ... Read more »

Category: Stories & Entertainment | Views: 819 | Added by: Admin | Date: 03/Oct/2017 | Comments (4)