SEHEMU YA TANO
Sura ya tatu
MAITI PANGONI
Kutoka sehemu ya nne:
Baada ya Kassim kwenda pangoni kwaajili ya kujipatia dhahabu na mali nyingi, kwa bahati mbaya alisahau neno la siri la kufungulia lango la pango wakati yuko ndani, hivyo alishindwa kutoka nje ya pango na hatimaye kukutwa na
...
Read more »